MBUNGE APOKEA MGENI

Mwanachama wa CHADEMANa: Kasumal Rashid

    Siku ya tarehe 22/07/2021, mh. mbunge wa jimbo la Kigoma kusini, ndugu NASHON WILLIAM BIDYANGUZE alipokea mwanachama mpya kutoka chama cha demokrasia na maendeleo ( CHADEMA ). katika viwanja vya mkutano wa hadhara huko majengo katika kijiji cha Tambusha

Post a Comment

0 Comments